Ajali nyingine mbaya sana ya basi yaua makumi, Gairo ni ya bus la AIRBUS lilikuwa linatoka DAR kwenda TABORA
Basi
la kampuni ya Airbus lililokuwa likitoka Dar es Salaam leo kuelekea
Tabora limepinduka katika maeneo ya maeneo ya Kiegeya Gairo.Shughuli za
uokozi zikiendelea muda mfupi uliopita
Haijulikani idadi kamili ya watu waliopoteza maisha lakini ni wengi na wengine wamejeruhiwa vibaya sanaaaaaaa!!
“Picha hazifai kuonwa na mimi niko eneo la tukio kwa ajili ya uokozi..viongozi mbali mbali wa serikali tunao hapa..kwakweli ni majonzi vilio nk,” ameandika shuhudu mmoja. Chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana mara moja
Haijulikani idadi kamili ya watu waliopoteza maisha lakini ni wengi na wengine wamejeruhiwa vibaya sanaaaaaaa!!
“Picha hazifai kuonwa na mimi niko eneo la tukio kwa ajili ya uokozi..viongozi mbali mbali wa serikali tunao hapa..kwakweli ni majonzi vilio nk,” ameandika shuhudu mmoja. Chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana mara moja







No comments:
Post a Comment