Rais Kikwete atawazwa kuwa chifu msaidizi wa waluguru na chifu kingalu huko kinole, morogoro, apewa jina la Chidukila
CHIFU
wa Waluguru Kingalu
Mwanabanzi wa 14, akijiandaa kumtawaza Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuwa
Chifu Msaidizi wa kabila hilo katika sherehe za aina yake zilizofanyika
katika uwanja wa Shule ya Msingi ya Kinole, kata ya Makuyuni, Morogoro
vijijini Agosti 22, 2014. Rais Kikwete pia alipewa jina la CHIDUKILA,
lenye kumaanisha "muibukaji", kwa maana ya kwamba Rais Kikwete ana uhuru
wa kuibuka kijijini Kinole bila taarifa wala kusubiri kualikwa.
CHIFU
wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14, akijiandaa kumvika mgolole Rais
Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa kumtawaza kuwa Chifu Msaidizi wa kabila
hilo katika sherehe za aina yake zilizofanyika katika uwanja wa Shule ya
Msingi ya Kinole, kata ya Makuyuni, Morogoro vijijini Agosti 22, 2014
CHIFU
wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14, akimvika mgolole Rais Jakaya
Mrisho Kikwete wakati wa kumtawaza kuwa Chifu Msaidizi wa kabila hilo
CHIFU
wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14, akimvipa pama lililosukwa kwa
ukindu Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati wa kumtawaza kuwa Chifu
Msaidizi wa kabila hilo




No comments:
Post a Comment