Header Ads

CHRISTIANO RONALDO ATWAA TUZO YA MWANASOKA BORA BARANI ULAYA 2013 – 2014

Cristiano RonaldoMpachika mabao hatari  wa kimataifa,  Cristiano Ronaldo amefanikiwa kutwaa Tuzo ya mwanasoka bora barani ulaya ”UEFA Best Player ” kwa mwaka 2013 na 2014 baada ya kuisaidia klabu yake ya Real Madrid kutwaa kombe la ligi ya mabingwa.
Ronaldo amewabwaga wachezaji wenzake waliokuwa katika kinyang’anyiro hicho akiwemo Straika wa Bayern Munich Arjen Robben na goli kipa Manuel Neuer Katika kura zilizopigwa wazi na waandishi wa habari wapatao 54.

No comments:

Powered by Blogger.