Header Ads

MBUNGE MAGIGE AHIDI KUWAINUA AKINAMAMA KIUCHUMI KUPITIA CATHERINE FOUNDATION



MA7Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha aliyevalia ushungi mweupe katikati Catherine Magige,akiwa na kikundi cha  akinamamalishe baada ya kuwawezesha vifaa vya upishi kwaajili ya kuendeleza biashara yao ya chakula katika eneo la kilombero jijini Arusha leo ambapo aliwawezesha wanawake wajasiliamili 150 wa jijini Arusha wanaojishughulisha na uuzaji wa mbogamboga,mama ntilie,machinga.

1.Wakina mama wakiwa wanamsikiliza Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha Mhe.Catherine Magige

2Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha Mhe.Catherine Magige akiwakabidhi kikundi cha akinamama kiasi cha shilingi laki mbili kwa kila kikundi ambapo alichangia jumla ya shilingi Milioni Moja na nusu kwa vikundi hivyo vya akina mama kwaajili ya kuwaezesha kuendeleza vikundi vyao vya vikoba.

3Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha  Mhe.Catherine Magige akiwa anamkabidhi mamantilie vyombo vya kuendeleleza biashara yao ya chakula katika eneo la kilombero jijini Arusha.

No comments:

Powered by Blogger.