Mbunge
wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation
ya mjini Arusha aliyevalia ushungi mweupe katikati Catherine
Magige,akiwa na kikundi cha akinamamalishe baada ya kuwawezesha vifaa
vya upishi kwaajili ya kuendeleza biashara yao ya chakula katika eneo la
kilombero jijini Arusha leo ambapo aliwawezesha wanawake wajasiliamili
150 wa jijini Arusha wanaojishughulisha na uuzaji wa mbogamboga,mama
ntilie,machinga.
Wakina
mama wakiwa wanamsikiliza Mbunge wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa
Taasisi ya Catherine Foundation ya mjini Arusha Mhe.Catherine Magige
Mbunge
wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation
ya mjini Arusha Mhe.Catherine Magige akiwakabidhi kikundi cha akinamama
kiasi cha shilingi laki mbili kwa kila kikundi ambapo alichangia jumla
ya shilingi Milioni Moja na nusu kwa vikundi hivyo vya akina mama
kwaajili ya kuwaezesha kuendeleza vikundi vyao vya vikoba.
Mbunge
wa viti maalum(uvccm)na mwenyekiti wa Taasisi ya Catherine Foundation
ya mjini Arusha Mhe.Catherine Magige akiwa anamkabidhi mamantilie
vyombo vya kuendeleleza biashara yao ya chakula katika eneo la kilombero
jijini Arusha.
MBUNGE MAGIGE AHIDI KUWAINUA AKINAMAMA KIUCHUMI KUPITIA CATHERINE FOUNDATION
Reviewed by crispaseve
on
12:03 AM
Rating: 5
No comments:
Post a Comment