Header Ads

CHRIS BROWN AIBUKA NA MTINDO MPYA WA NYWELE



Baada ya kumwagana na laaziz wake na kumaliza bifu na Drake, msanii nyota wa muziki wa R&B Duniani, Chris Brown, ameamua kuja na mtindo mpya wa nywele uliowahi kubamba enzi za vita kuu ya pili ya Dunia.
Mkali huyo wa kibao cha Loyal alitumia ukurasa wake wa Instagram kuwaonyesha mashabiki  staili mpya ya nywele zake.Taking it back to the 30s! Lol! aliandika Chris Brown.
Mtindo huo wa nywele umeonekana  kuwabamba mastaa wengi, kwani ukimtoa Chris Brow, Staa mwingine ni Adrian Marcel. Mcheki hapo chini.
Chris Brown na mtindo mpya wa nywele
Chris Brown ndani ya muonekano  mpya wa nywele
Mwanamuziki Adrian Marcel akiwa na mtindo wa nywele kama wa Chris Brown
Mwanamuziki Adrian Marcel akiwa na mtindo wa nywele kama wa Chris Brown

No comments:

Powered by Blogger.