TGNP Mtandao ya Chambua Bajeti na Wahariri wa Vyombo vya Habari
Kaimu Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Lilian Liundi akiwasilisha mada kwa wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari leo
Mmoja wa wachambuzi wa sera wa TGNP Mtandao, Agnes Lukaya akiwasilisha
matokeo ya tafiti mbalimbali za TGNP zilizofanywa kwa jamii.
Aliyekuwa Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Usu Mallya (kushoto) akiwasilisha
mada yake kwa wahariri wa vyombo vya habari katika mkutano wa TGNP na
wahariri hao.
Mada ikiwasilishwa na Kaimu Mkurugenzi wa TGNP Mtandao
Juu ni wahariri wakichangia mada anuai katika mkutano huo. Uwasilishaji mada kwa hisia! Mmoja wa wadau wa TGNP akiendesha mjadala mara baada ya mada kwenye mkutano huo. Mkutano wa TGNP na wahariri wa habari kuzungumzia uchambuzi wa bajeti kwa muktadha wa kijinsia.
No comments:
Post a Comment