PICHA: KAMPENI YA KUPAMBANA NA HOMA YA INI YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick akiandika huku akitafakari jambo wakati wa uzinduzi huo.
Meza kuu wakibadilishana mawazo.
Ini likiwa salama kabla ya kushambuliwa na virusi vya Hepatitis B.
Mmoja wa mapaparazi akijiandaa kuchukua matukio katika uzinduzi huo.
--
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick amezindua rasmi kampeni ya kupambana na Ugonjwa wa Homa ya Ini katika Hospitali ya Amana, Ilala jijini Dar es Salaam.
Kampeni hiyo imeandaliwa na Kampuni ya Global Pulishers Ltd wakishirikiana na Wizara ya Afya, SD Africa, Sanofi, Megra Clinic, Damu Salama na Tamsa.
Katika uzinduzi huo, Mkuu wa Mkoa ambaye alikuwa mgeni rasmi, amewataka wadau mbalimbali kuonyesha ushirikiano katika kupambana na ugonjwa huo hatari kuliko HIV huku akiwaasa wananchi kuacha vitendo vinavyoweza kuleta maambukizi ya ugonjwa huo unaombukizwa kwa njia sawa na za HIV.
PICHA ZOTE NA GPL
No comments:
Post a Comment