Header Ads

KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA ZAZIDI KUSHIKA KASI,CCM YAJITABIRIA KUNYAKUA JIMBO.

 Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga,Mkoani Iringa kupitia tiketi ya chama cha CCM,Godfrey Mgimwa akiwa amebebwa juu na wananchi/Wanakijiji wa kijiji cha Ilala Simba kilichopo Kata ya Nzihi,Iringa Vijijini mapema leo jioni,alipokwenda kuzungumza nao na kuomba ridhaa yao ya kuwaongoza kama Mbunge.
 Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga,Mkoani Iringa kupitia tiketi ya chama cha CCM,Godfrey Mgimwa akipeana mikono na baadhi ya Wazee wa kijiji cha Ilala Simba kilichopo Kata ya Nzihi,Iringa Vijijini mapema leo jioni,alipokwenda kuzungumza nao kwenye mkutano wake wa hadhara katika suala zima la kuomba kura na kupata ridhaa ya wanakijiji hao kuongozwa na yeye akishinda kiti hicho cha Ubunge wa jimbo la Kalenga. 
 Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga,Mkoani Iringa kupitia tiketi ya chama cha CCM,Godfrey Mgimwa akiteta jambo na baadhi ya Wazee wa kijiji cha Ilala Simba kilichopo Kata ya Inzihi,Iringa Vijijini mapema leo jioni,alipokwenda kuzungumza nao kwenye mkutano wake wa hadhara katika suala zima la kuomba kura na kupata ridhaa ya wanakijiji hao kuongozwa na yeye akishinda kiti hicho cha Ubunge wa jimbo la Kalenga.
 Baadhi ya Wazee wa kijiji cha Ilala Simba kilichopo Kata ya Inzihi,Iringa Vijijini,wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ya uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga mapema leo jioni.
 Baadhi ya Wazee wa kijiji cha Ilala Simba kilichopo Kata ya Inzihi,Iringa Vijijini,wakiwa kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni ya uchaguzi mdogo wa jimbo la Kalenga mapema leo jioni.
 Wanachama wa chama cha CCM na wananchi wakishangilia jambo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanywa na CCM mapema leo jioni,ambapo mgombea wa chama hicho,Godfrey Mgimwa alifika na kujinadi kuomba kura na ridhaa ya kuongoza jimbo hilo.  
 Naibu Meya wa Manispaa ya Iringa,Mh.Gervas Ndaki akiwa amepiga magoti ikiashiria kutoa heshima kwa wananchi kwa ajili ya kuwaomba kura kwa ajili ya Mgombea wa CCM,kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika leo katika kijiji cha Ilala Simba kata ya Nzihi mkoani humo

No comments:

Powered by Blogger.