Soma Msimamo wa Mbunge wa Arumeru Mashariki-Chadema na mjumbe wa bunge maalum la katiba Joshua Nassari Juu ya Sakata la Posho Bunge la Katiba

Mbunge wa Arumeru Masharikina mjumbe wa bunge maalum la katiba Joshua Nassari
--
Nimeona nukuu kwenye gazeti la nipashe la leo. Kumsingi ike nujuu si ya kwangu ni
nineshazungumza na Mhariri wa jipashe Bw. Kwayu.Sijui
kama nukuu ile imewekwa kwa
kukosea au kwa makusudi, wameahidi
kurekebisha makosa lakini ni vyema jikaweka
msimamo wangu hapa.
Kwa hali halisi ya maisha ya kawaida ya Mtanzania wa shilingi laki 3 ni fedha nyingi. Na
Kwa hali halisi ya maisha ya kawaida ya Mtanzania wa shilingi laki 3 ni fedha nyingi. Na
taasisi ya Bunge ndiyo inayopaswa kuwqpigania hawa
watanzania ili vipato vyao vipande
lakini taasisi hii siku zote
imekubali kuwa upande wa serikali badala ya kuisimamia serikali
kwa
niaba ya wananchi.
Fedha hiyo bado ni nyingi mno kama kipato cha mtanzania kinabaki kuwa hapo kilipo.
Kabla
ya kupigania ongezeko ambalo linaweza wakati mwingine likawa na
mantiki, ni vyema
wabunge wakaifanya kwanza kazi yao ya kupigania maisha
bora na maslahi bora kwa
wananchi hiki hiyo mantiki yao iweze
kuonekana. Itherwise na sisi wabunge tutakuwa ni
sehemu ya hali ngumu ya
maisha ya watanzania ambao bado wanajifungulia sakafuni na
hawana maji
safi ya kunywa.
Na
Na
Joshua Nassari (MB) na mjumbe wa bunge maalum la katiba.
No comments:
Post a Comment