Header Ads

Picha:Mgombea wa Chadema Kwenye Uchaguzi Mdogo Jimbo la Kalenga mkoani Iringa Grace Tendega Achukua Fomu Rasmi



 Picha juu na Chini ni  Mgombea wa Chadema Kwenye Uchaguzi Mdogo Jimbo la Kalenga mkoani Iringa Grace Tendega akiongozwa na pikipiki na wapenzi na wafuasi mbalimbali wa chadema kuchukua fomu za kuwania nafasi hiyo leo
Mgombea wa Chadema Kwenye Uchaguzi Mdogo Jimbo la Kalenga mkoani Iringa Grace Tendega Akipokea fomu kutoka kwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Wilaya ya Iringa,Pedenciana Kisaka leo.

No comments:

Powered by Blogger.