CHADEMA WAZINDUA RASMI KAMPENI ZA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
Viongozi na wanachama wa CHADEMA wakielekea kwenye makumbusho ya Chifu mkwawa kabla ya kuanza kampeni hizo
Hapa wakitoka kwenye Makumbusho ya Chifu Mkwawa huku hali ya hewa ikiwa ni ya ubishi kutokana na mvua kubwa kunyesha.
Mgombea
wa Ubunge kupitia chama cha CHADEMA Grace Tendega Mvanda akinadiwa na
Katibu mkuu wa chama hicho Dr. W. Slaa wakati wa kampeni hizo zilizoanza
hii leo katika jimbo la Kalenga.
No comments:
Post a Comment