Header Ads

MSHINDI WA TUZO YA DAUDI MWANGOSI , ABSALOM KIBANDA AANGUA KILIO UKUMBINI BAADA YA KUTANGAZWA

 Wadau wa habari aliohudhuria  hafla hiyo jijini Mwanza leo
Mgeni  rasmi katika hafla  hiyo ya kukabidhi tuzo ya Daudi Mwangosi Bw  Tido Mhando  wa tatu  kulia  akimkabidhi mshindi  mfano  wa hundi ya Tsh milioni 10  Absalom Kibanda tuzo  yenye  thamani ya Tsh  milioni 10,0000 katikati ni mjane  wa Mwangosi  Itika Mwangosi  wa kwanza  kushoto ni makamu wa rais wa UTPC Jane Mihanji na  rais  wake  Keneth Simbaya.
Na Abdulaziz video,Mwanza  Mhariri mtendaji wa Kampuni ya New Habari Absalom Kibanda leo
amekabidhiwa tuzo ya Uandishi wa kishujaa na Utumishi uliotukuka ya
Marehemu Daud Mwangosi baada ya Mhariri huyo kukumbwa na tukio la
uvamizi na kisha kutobolewa jicho na watu wasiofahamika Machi 6 mwaka
huu.  
Kabla ya makabidhiano ya tuzo hiyo wadau wote wa habari wakasimama na kisha kuimba wimbo maalumu wa kumuenzi Marehemu Daud Mwangosi. 

No comments:

Powered by Blogger.