Ofisa
uhusino na masoko wa Mpango wa Taifa wa damu salama Bw. Rajab Mwenda
(kulia) akielezea kuhusu ripoti ya akusanyo ya damu ya robo mwaka na
mikakati ya kukusanya damu kipindi cha Novemba- Januari 2013 wakati
wanafunzi wakiwa likizo
Na Mwandishi Wetu
MPANGO wa Taifa wa Damu Salama
Tanzania (NBTS) umevuka malengo ya ukusanyaji damu kwa asilimia
110 katika kipindi cha miezi mitatu ya Julai hadi Septemba 2013 ambapo
jumla ya chupa 38,552 zilikusanywa na kuvuka malengo ya chupa 35,000
zilizokuwa zikusanywe.
No comments:
Post a Comment