Header Ads

MPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA TANZANIA WAVUKA MALENGO WA UKUSANYAJI DAMU


Ofisa uhusino na masoko wa Mpango wa Taifa wa damu salama Bw. Rajab Mwenda (kulia) akielezea kuhusu ripoti ya  akusanyo ya damu ya robo mwaka na mikakati ya kukusanya damu kipindi cha Novemba- Januari 2013 wakati wanafunzi  wakiwa likizo

Na Mwandishi Wetu

MPANGO wa Taifa wa Damu Salama Tanzania (NBTS) umevuka malengo ya ukusanyaji  damu   kwa asilimia 110  katika kipindi cha miezi mitatu ya Julai hadi Septemba 2013 ambapo jumla ya chupa 38,552 zilikusanywa na kuvuka malengo ya chupa 35,000 zilizokuwa zikusanywe.

No comments:

Powered by Blogger.