Header Ads

MAMBO SASA YAMEANZA MTIHANI KIDATO CHA NNE


Wanafunzi wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Sandari iliyopo Manispaa ya Temeke jijini Dar es Salaam, wakijisomea baada ya kumaliza mtihani wa Jografia ikiwa ni maandalizi ya kufanya mtihani wa Kiingereza Dar es Salaam. Wanafunzi wa kidato cha nne kote nchini wameanza jana kufanya mtihani wa kitaifa ambapo wanatarajia kumaliza Novemba 21 mwaka huu. (PICHA NA DOTTO MWAIBALE)

No comments:

Powered by Blogger.