MAKAMU WA RAIS, DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KUJADILI MTANDAO WA MAJI KWA NCHI WANACHAMA WA SADC LILILOANDALIWA NA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akifungua rasmi kongamano la kujadili Mtandao wa maji kwa Nchi
Wanachama wa SADC, lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, jana
jijini Dar es Salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akifungua rasmi kongamano la kujadili Mtandao wa maji kwa Nchi
Wanachama wa SADC, lililoandaliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, jana
jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa 'local Organizing Commitee', Prof. Mtalo Felix, akizungumza wakati wa ufunguzi wa Kongamano hilo.
Baadhi ya washiriki wa Kongamano hilo wakimsikiliza Makamu wa Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati akisoma hotuba yake ya ufunguzi.




No comments:
Post a Comment