JAJI WARIOBA: TUTATOA RASIMU YA KATIBA YENYE MASLAHI YA TAIFA
Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph
Warioba akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo (Jumatatu,
Aprili 29, 2013). Kulia ni Katibu wa Tume, Bw. Assaa Rashid.
Mwenyekiti wa kamati ya uwasilishaji wa mapendekezo ya
muundo wa mabaraza ya Katiba kwa jamii ya watu wenye ulemavu, Bw. David Nyendo
(kushoto) akiwasilisha maoni yake ya kamati hiyo kwa Tume ya Mabadiliko ya
Katiba katika mkutano baina yao uliofanyika
ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam tarehe 13 Feb mwaka huu (2013). Kulia
ni Mjumbe wa Tume, Dkt. Salim Ahmed Salim. Picha na Tume ya
Katiba

No comments:
Post a Comment