Header Ads

Taswira kutoka Viwanja Vya Bunge Mjini Dodoma


 Waziri wa nchi, Ofisi ya ya Rais (mahusiano na Uratibu) na Mbunge
wa Bunda Mhe Steven Wasira (kulia) akikumbatiana na Mbunge wa Arusha mjini Mhe Godbless Lema katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma
 
Baadhi wa wabunge wakielekea katika ukumbi wa mkutano Bungeni mjini Dodoma
 Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Mhe  Freeman Mbowe (kulia) , Mhe Godless Lema (katikati- Arusha mjini) pamoja na Mbunge  wa Musoma Mjini, Mhe Vicent Nyerere  wakielekea katika Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma. Mbunge  Lema amerudi tena Bungeni  baada ya kushinda kesi yake
 Wabunge wa Iramba  Magharibi Mhe Mwingulu Nchemba- CCM (kulia), Mhe Joseph Selasini( Mbunge wa  Rombo- CHADEMA ), na Mbunge wa NCCR-
MAGEUZI, Mhe Moses Machali wakiwa katika viwanja vya Bunge leo mjini Dodoma(Picha zote na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO).

No comments:

Powered by Blogger.