WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA ZIARANI KATIKA JIMBO LA ISIMANI NA KALENGA MKOANI IRINGA
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akikagua matrekta madogo maarufu kwa jina la Power
Tiller yanayotumika katika shamba la kilimo cha umwagiliaji la Magozi
katika jimbo la Ismani wakati alipolitembelea shamba hilo akiwa katika
ziara ya mkoawa Iringa Februari 19, 2015. Watatu kulia ni Mkuu wa mkoa
wa Iringa, Amina Masenza.
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na walimu na wanafunzi wa shule ya
sekondari ya Kiwere katika jimbo la Kalenga wakati alipotembelea maabara
ya Kemia na Fizikia ya shule hiyo akiwa katika ziara ya mkoa wa Iringa
Februari 19, 2015.
No comments:
Post a Comment