MBUNGE WA JIMBO LA MOROGOGO MJINI MH ABOOD AMWAGA MISAADA KATA YA BIGWA MOROGORO
Mbunge
wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh aziz Abood Akijibu Hoja Mbalimbali Kuhusu
kero Zinazowakabili wakazi wa Kata ya Bigwa Katika Ziara yake ya
Kutembelea Kata Mbalimbali za Jimbo la Morogoro Mjini.Mh Abood Aliata
nafasi ya Kuongea na wakazi wa Mitaa wa Mitaa Mbalimbali inayounda Kata
ya Bigwa.Mh Abood alijibu na Kutatua Kero Mbalimbali zinazowakabili
wakazi wa Kata Hiyo.Mbunge Huyo alitoa Majibu Kuhusu Kero ya Umeme, Maji
,Barabara na Nyinginezo.Pia Mh Abood alitoa Misaada Mbalimbali
iliyogarimu zaidi ya Milioni 20 Katika Kata ya Bigwa.

Mbunge
wa Jimbo la Morogoro Mjini Mh aziz Abood akiwa kwenye banda la Mama
Lishe maarufu Kama Mama Ntilie Ili Kujionea na kujua Changamoto
Zinazowakabili wamama hao katika kazi yao Hiyo wakati wa Ziara yake ya
Kutembelea Kata ya Bigwa Jimbo la Morogoro Mjini
Baadhi ya Misaada aliyotoa Mbunge huyo kwa Wakazi wa Kata ya Bigwa.
No comments:
Post a Comment