Header Ads

ASKOFU MPYA DAYOSISI YA KASKAZINI AWEKWA WAKFU NA KUSIMIKWA

Waumini wakiwa katika ibada ya kuwekwa Wakfu na kusimikwa kwa Askofu Mpya wa Dayosisi ya Kaskazini ,Dkt Fredrick Shoo ibada iliyofanyika Usharika wa Moshi Mjini.
Askofu ,Dkt Paul Akyoo akimvisha kofia Askofu Mpya wa Dayosisi ya Kaskazini ,Dkt Fredrick Shoo ikiwa ni alama ya ukuhani wake  Yesu Kristo katika kanisa lake.
Maaskofu wakiwa wamemzunguka huku wakimwekea mikono Askofu Mpya wa Dayosisi ya Kaskazini Dkt Fredrick Shoo na kumbariki kwa baraka ya Haruni wakati wa ibada ya kuwekwa Wakfu na Kusimikwa kwake.
Baadhi ya waumini na viongozi mbalimbali wakiwa katika ibada hiyo iliyofanyika katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Usharika wa Moshi mjini 
Askofu Mpya wa Dayosisi ya Kaskazini,Dkt Fredrick Shoo akitoa hotuba yake ya kwanza muda mfupi baada ya kuwekwa Wakfu na Kusimikwa kuwa Askofu Mpya wa Dayosisi hiyo akichukua nafasi ya Dkt Martin Shao aliyemaliza muda wake.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini ,kwa PICHA ZAIDI BONYEZA HAPA.

No comments:

Powered by Blogger.