WANAHABARI IRINGA HOI KUPANDA MLIMA KILIMANJARO MZEE WA MATUKIODAIMA AONGOZA
Pamoja na kudai mlima kilimanjaro upo Kenya,hapa wasnafunzi kutoka nchini Kenya wakipanda mlima Kilimanjaro sanjari na wanahabari Iringa kama walivyonaswa na kamera ya matukiodaima ,kama mlima yungekuwa Kenya si wangepanda mlima huu kupitia Kenya?
Vijana waongoza watalii katika mlima Kilimanjaro wakimsaidia kumshusha kutoka mlimani mmoja kati ya watalii watano kutoka nje ya Tanzanie aliyepoteza fahamu kwa kupanda mlima huo kama walivyokutwa na kamera ya matukiodaima wakiwa eneo la kituo cha kwanza cha MANDARA
Baadhi ya wanahabari kutoka mkoa wa Iringa wakiwa ktk picha kabla ya kuanza kupanda mlima Kilimanjaro
Katibu wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Iringa Bw. Francis Godwin ama mzee wa matukiodaima wa pili kulia ,mwanahabari Abukarim Mshana wa radio Qbra Ten Fm na mwandishi wa Mjengwa BLOG kushoto wakipongezana na watalii wa nje baada ya kufanikiwa kuweka rekodi ya kupandisha mlima huo kwa mwendo wa kukimbia na kutumkia saa 1 .45 kutoka getini hadi kituo cha kwanza cha MANDARA badala ya masaa matatu na kushuka kwa dakika 45
No comments:
Post a Comment