Header Ads

BAADHI YA WANAFAMILIA YA NELSON MANDELA WALALAMIKA KUTOALIKWA KATIKA MSIBA HUO KUTOKA NA HALI ZAO ZA MAISHA KUWA DUNI.


Sidelined: Nelson Mandela's niece Nokhaya Mkwedini is among the family members who has not been invited to attend the service
Pichani ni Mpwa wa late Nelson Mandela, Nokhaya Mkwedini ambaye ni mmoja wapo wa wanafamilia hiyo aliyetengwa kwa kutopewa mualiko wa kuhudhuria msiba huo.
Wakati nchi ya Afrika Kusini na Dunia kwa ujumla wakiomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Mzee Nelson Mandela, baadhi ya wana ukoo wa Mandela wameeleza kusikitishwa kwao kufuatia kutengwa na familia ya mzee Nelson Mandela kwa kutopewa mualiko kutokana na hali zao za kimaisha kuwa Duni.
akiongea na kituo kimoja cha habari nchini Afrika Kusini, Mpwa wa Nelson Mandela aliyejitambulisha kwa jina la okhaya Mkwedini alinukuliwa akisema kwamba mtu anayepaswa kulaumiwa ni mtoto wa kike wa kwanza wa Mandela anayeitwa Makaziwe(59) kutokana  na kuwa na jukumu la kuwaalika wanaukoo hao kwenye shughuli hiyo ya msiba na hata mume wake alivyomwambia kuhusu habari za kwenda kwenye msiba nilimkatalia, mpwa huyo aliendelea kufunguka zaidi kwa kusema kwamba hawakuweza kupewa mualiko kutokana na hali zao za kimaisha kuwa Duni hivyo uwepo wao kwenye msiba huo ungekuwa kama vile kuiabisha  familia ya mzee Mandela kutokana na viongozi wakubwa wa Dunia kuwepo , na kisha alimalizia kumalizia kwa kusema kwamba laiti kama marehemu Nelson Mandela angelifufuka kesho angehudhunishwa na kutokuwepo kwa ndugu wa familia yake kwani angelitaka wanaukoo wake wote wawepo katika msiba wake..
Mzwandile Mandela, 13, a grand nephew of the late Mr Mandela who lives right oppisite Mandela's house in Qunu is not allowed to attend his the funeral and will have to watch proceeding on television
 Mpwa wa marehemu  Nelson Mandela, Mzwandile Mandela(13) ambaye anaishi jirani na nyumba aliyokuwa akiishi Mandela katika eneo la Qunu hakuruhusiwa kuhudhuria mazishi ya Mandela ikabidi atazame matukio yote kwenye Luninga kama anavyoonekana katika picha.
South African boys watch preparations taking place around Nelson Mandela's home in the ancestral village of Qunu
The family grave yard where Mandela will be laid to rest
Hili ni eneo maalum ambalo watu wa ukoo na familia ya Marehemu Nelson Mandela huzikwa.
The body of Nelson Mandela lies in state in Pretoria, South Africa, earlier this week

No comments:

Powered by Blogger.