Header Ads

ASAS NA MSOWOYA WAKEMEA SIASA ZA MAKUNDI NDANI YA UVCCM MKOA WA IRINGA

  Kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa  Salim Asas kushoto akimkaribisha mwenyekiti wa  chipukizi mkoa Enock Luhala mara  baada ya kutangazwa mshindi  katika uchaguzi mkuu wa Chipukizi mkoa uliofanyika mkoani humo
 Kamanda  wa UV CCM ambae  alikuwa mgeni rasmi katika uchaguzi  wa Chipukizi mkoa wa Iringa  Salim Asas akiwa na viongozi  wa UVCCM mkoa Tumain Msowoya  mwenyekiti wa umoja  huo kushoto na mwenyekiti mpya wa chipukizi mkoa Enock Luhala kulia

 Kamanda  wa   UVCCM mkoa  wa  Iringa  Salim Asas kushoto na mwenyekiti  wa  UVCCM mkoa wa Iringa  Tumaini Msowoya wakiwa wamewapakata  wajumbe  wa mkutano mkuu wa Chipukizi mkoa  wa Iringa mara baada ya uchaguzi

No comments:

Powered by Blogger.