Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker (kushoto) akimkabidhi
kikombe mmoja wa washindi katika mchezo wa kuogelea kwenye maadhimisho
ya Siku ya Familia iliyofanyika Kunduchi Wet 'n' Wild Water Park ya
Jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker (kushoto) akimkabidhi
kikombe mmoja wa washindi katika mchezo wa kuogelea kwenye maadhimisho
ya Siku ya Familia iliyofanyika Kunduchi Wet 'n' Wild Water Park ya
Jijini Dar es Salaam jana.
Baadhi
ya washindi wa mchezo wa kuogelea wakipata picha ya kumbukumbu na
viongozi waandamizi wa NMB baada ya kukabidhiwa zawadi zao kwenye
maadhimisho ya Siku ya Familia yaliyofanyika Kunduchi Wet 'n' Wild Water
Park ya Jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker (kulia) akizungumza na
wafanyakazi wa NMB pamoja na familia zao kabla ya kuzinduwa rasmi
maadhimisho ya Siku ya Familia (family day) kwa wafanyakazi wa benki
hiyo yaliofanyika Kunduchi Wet 'n' Wild Water Park ya Jijini Dar es
Salaam jana. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni Tusherehekee
pamoja mafanikio ya Miaka 10 ya NMB.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker (kushoto) akizungumza na
wafanyakazi wa NMB pamoja na familia zao kabla ya kuzinduwa rasmi
maadhimisho ya Siku ya Familia (family day) kwa wafanyakazi wa benki
hiyo yaliofanyika Kunduchi Wet 'n' Wild Water Park ya Jijini Dar es
Salaam jana. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni Tusherehekee
pamoja mafanikio ya Miaka 10 ya NMB.
Wafanyakazi Benki ya NMB washerehekea 'Family Day'
Reviewed by
crispaseve
on
1:05 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment