CHAMPIONI YATUNUKU TUZO KWA WAANDISHI NA WAHARIRI WAKE
Mhariri
wa Gazeti la Championi Jumatatu, Ezekiel Kitula (kushoto) akikabidhi
picha maalum ya timu ya Championi kwa Abdallah Mrisho.
Abdallah Mrisho akitoa neno la shukrani kwa timu ya Championi.
Mhariri
wa Gazeti la Uwazi, Elvan Stambuli (kushoto) akikabidhi Tuzo Maalum ya
Sapoti Bora ya Mzazi kwa Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric
Eric Shigongo akizungumza na wafanyakazi wa Global (hawapo pichani).
MC
wa hafla ya ugawaji tuzo, ambaye pia ni Mhariri wa Gazeti la Championi
Jumamosi, Elius Kambili akitoa neno la utangulizi wakati wa shughuli
hiyo.
Mwenyekiti
wa shughuli hiyo ambaye pia ni Mhariri Kiongozi wa Magazeti ya
Championi, Saleh Ally akifungua rasmi hafla fupi ya utoaji tuzo kwa
waandishi na wahariri wa Championi.
No comments:
Post a Comment