Header Ads

 MANCHESTER UNITED  NDEMBE! NDEMBE!

Maswali ya ambayo wamejiuliza sana washabiki wa manchester baada ya kushindwa ni
haya ..je ilikuwaje? pale kafanyaje?bora angeingia..,leo vipi? 
mwishoni anamalizia poa tu wamebahatisha...leo
KWANZA KOMBE LENYEWE HATA TUNGECHUKUA TUNGELIWEKA WAPI? WAKATI MAKABATI YOTE YAMEJAA MAKOMBE..ila ukae ukijua man.united umenikera xana japo nakupenda ! MAN.U FOREVER ucjali xana
  Huyu ni mshabiki wa man u aiseee alinifurahisha sana.... 


Hapo ndipo mwaka unakuwa mbaya kwa Man  U ,baada ya kupigwa 3-1 na Barcelona jana usiku saa 5 manchester ilijitahidi kujiepushia balaa hilo lakini juhudi ziliishia miguuni kwa wyne looney

BINGWA BARCELONA FULLSHANGWE.....


Man u leo Amesanda pia wamedhihirisha wazi kuwa barca ni mabingwa wa dunia baada ya kuloa mbendembende kwa kichapo cha goli tatu mbele ya mashabiki wao lukuki
                             
"Mashabiki wa manchester united wote duniani kwa ujumla leo itakuwa tumefanana sura zetu kwasababu wote tumelia sana lazima tutakuwa tumevimba macho....."
" mungu ibariki mimi na manchester united na mbariki na rooney ambaye amenipa jeuri kidogo kwa goli la kufutia machozi ila asante mungu nimepata jeuri ya kutoka  nje leo japo kidogo tu.amina"
na hivi ndivyo mlevi alivyosikika akisema baa flani baada ya kumaliza kuangalia mechi hiyo jana..

No comments:

Powered by Blogger.