NEWS UPDATES KUTOKA DODOMA JIONI HII;NI DKT ASHA ROSE MIGIRO,BALOZI AMINA SALUM ALI NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI

Balozi Amina Salum Ali

Dkt John Pombe Magufuli

Dkt Asha Rose Migiro.
Pichani
ni majina matatu ya wagombea kiti cha Urais kwa chama cha
CCM,yaliyopitishwa usiku huu na Mkutano wa Halmashauri Kuu ya
CCM,ambapo kati ya hayo majina matatu kupitia Mkutano Mkuu wa CCM
unaofanyika usiku huu utaibua jina la mtu mmoja tu ambaye
atatambulika kuwa ndiye mgombea kiti cha Urais kupitia chama hicho cha
CCM
No comments:
Post a Comment