Header Ads

MSIGWA APATA RIDHAA YA WANANCHI KUONGOZA MIAKA MITANO MINGINE KITI CHA UBUNGE IRINGA MJINI.

Mhe. Joseph Mbilinyi mbunge wa Mbeya akiunguruma kwenye mkutano huo wa wananchi wa Iringa wa kumpa ridhaa Mbunge wao Mhe. Peter Msigwa kugombea tena kwa miaka 5 katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Octoba mwaka huu.
Mbunge wa Mbeya Mhe. Joseph Mbilinyi (sugu) watatu toka kushoto akiteta jambo na Mhe/ Peter Msigwa Mbunge wa Iringa katika mkutano wa kumpa ridhaa Mbunge Mhe. Peter Msigwa kugombea ubunge kwenye jimbo hilo kwa miaka 5 ijayo kwa tiketi ya chama chake, CHADEMA.
 Msanii wa Bongo Flava Roma Mkatoliki akinogesha mkutano huo.
Mwimbaji wa nyimbo za injili Flora Mbasa akiimba moja ya nyimbo zake kwenye mkutano huo uliofanyika leo Jumapili July 18, 2015 mjini Iringa

No comments:

Powered by Blogger.