Mgombea
uraisi kwa tiketi ya chama cha Mapinduzi -CCM Dkt John Magufuli
akipongezwa na mwandishi mwandamizi wa kituo cha ITV na Radio one John
Chacha siku chache kabla ya Dkt Magufuli kuchukuwa fomu ya kutia nia
kugombea nafasi ya Urais kupitia chama cha CCM,ambapo aliagana na
mwandishi huyo akiwa njiani kuelekea mikoa ya Geita,Mwanza na Kagera.
Pichani
ilikuwa ni nje ya ofisi za CCM makao makuu mjini Dodoma,John Chacha
anamtakia kila lakheri na afya njema katika safari yake ya kuipeperusha
bendera ya chama chake katika kuwania nafasi ya Urais katika uchaguzi
Mkuu utakaofanyika hapo baadae mwaka huu 2015.
MDAU JOHN CHACHA AMPONGEZA DKT JOHN MAGUFULI KWA USHINDI WA KUIPEPERESHA BENDERA YA CCM KUWANIA URAIS
Reviewed by
crispaseve
on
3:02 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment