DIAMOND PLATNUMZ KUPAMBA MKUTANO MKUBWA WA JIMBO LA SINGIDA MJINI VIWANJA VYA PEOPLE'S CLUB
KIKAO CHA KAMATI MAALUM
ZANZIBAR YAPITISHA JINA LA MGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM DK.
ALI MOHAMED SHEIN. sh2 MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dk Ali Mohamed
Shein, akisalimiana na Makamu wa Rais wa Dkt. Mohammed Gharib Bilal
wakati wa Kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar ilokutana kupitisha
Jina la Mgombea wa Urais wa Zanzibar. sh3 VIONGOZI wa Meza Kuu wakiwa
wamesimama baada ya kuingia katika ukumbi wa Mkutano.SH6 MAKAMU
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein,
akizungumza na Wajumbe wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar kupitisha Jina
la Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM. SH7 NAIBU Katibu Mkuu wa CCM
Zanzibar Ndg Vuai Ali, akitoa maelezo ya kikao hicho cha Kamati Maalumu
ya CCM Zanzibar. sh1 WAJUMBE wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar wakiwa
katika ukumbi wa Mkutano Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandua kwa ajili ya
kupitisha Jina la Mgombea Nafasi ya Urais wa Zanzibar Dk. Shein.SH5
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Zanzibar Dk Ali Mohamed Shein
akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe Kamati Maalum ya CCM Zanzibar
baada ya kupitisha Jina lake kuwa Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM.
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
Copy and WIN : http://ow.ly/KNICZ
No comments:
Post a Comment