Header Ads

AIRTEL FURSA YATUA MWANZA

 Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mmbando akiongea na vijana
wa Mwanza wakati wa uzinduzi  wa warsha maalum kwa vijana  ya'Airtel
Fursa'  kutoka Airtel Tanzania yenye lengo la kuwawezesha Vijana
wajasiliamali nchini iliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya jiji
Mwanza.
 Baadhi ya vijana wa mwanza wakifuatilia kwa makini mafunzo yalikuwa
yakiendeshwa na Airtel Fursa yenye lengo la kuwawezesha vijana kupata
mafunzo kwenye usimamizi wa fedha, upatikanaji wa mikopo, kufungua
akaunti ya benki na mambo muhimu katika kuendesha biashara. Warsha
hiyo ilifanyika jana katika ukumbi wa Halmashauri ya jiji Mwanza.
 Meya Stanslaus Mabula akiongea na vijana Mwanza wakati wa uzinduzi  wa
warsha maalum kwa vijana  ya'Airtel Fursa'  kutoka Airtel Tanzania
yenye lengo la kuwawezesha Vijana wajasiliamali nchini iliyofanyika
katika ukumbi wa Halmashauri ya jiji Mwanza.
 Mtaalamu wa maswala ya kijamii na ujasiliamali bw, Fidelis Madaha
akifundisha mada ya Masoko katika warsha ya Airtel fursa iliyofanyika
katika ukumbi wa halmashauri ya jiji jana. Airtel inaendesha warsha
hizo kwa lengo la kuwawezesha vijana kupata mafunzo kwenye usimamizi
wa fedha, upatikanaji wa mikopo, kufungua akaunti ya benki na mambo
muhimu katika kuendesha biashara.

No comments:

Powered by Blogger.