Header Ads

MWILI WA HAYATI MZEE MGAWE UMEWASILI TANZANIA.

IMG-20150406-WA0061Maafisa wa Jeshi la Polisi Tanzania wakipokea mwili wa hayati mzee Eddis Mgawe ulipowasili Jumatatu kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Daresalaam Tanzania (JIA) kutoka Washington Dc. Mzee Mgawe alikuwa ni kamishna mstaafu wa Jeshi la Polisi nchini na alifariki dunia wiki iliyopita nchini Marekani alikokuwa anawatembelea wanae.

No comments:

Powered by Blogger.