Header Ads

YALIYOJIRI‬ KASHFA YA UCHOTWAJI BILIONI 360 IPTL YAMBABUA PINDA

#YALIYOJIRI KASHFA YA UCHOTWAJI BILIONI 360 IPTL YAMBABUA PINDA

Waziri Mizengo Pinda jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya kubanwa na wabunge ambao waliweka pembeni tofauti zao za vyama vya siasa na kuungana kupinga vikali njama zinazodaiwa kufanywa na mahakama ya Tanzania za kuingilia uhuru wa Bunge kulizuia kujadili ripoti  ya uchunguzi wa kashfa ya IPTL ya uchotwaji wa shilingi bilioni 360 katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyopo benki kuu ya Tanzania (BOT)

Hoja za Wabunge hao zilionekana kulitikisa Bunge jana kiasi cha wabunge kutotaka kusikiliza kauli ya serikali kupitia Waziri mkuu, Mizengo Pinda kwani alipotoa ufafanuzi walisikika wakitoa matamushi ya kutokukubaliana naye
Waziri Mizengo Pinda jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya kubanwa na wabunge ambao waliweka pembeni tofauti zao za vyama vya siasa na kuungana kupinga vikali njama zinazodaiwa kufanywa na mahakama ya Tanzania za kuingilia uhuru wa Bunge kulizuia kujadili ripoti ya uchunguzi wa kashfa ya IPTL ya uchotwaji wa shilingi bilioni 360 katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyopo benki kuu ya Tanzania (BOT)
Hoja za Wabunge hao zilionekana kulitikisa Bunge jana kiasi cha wabunge kutotaka kusikiliza kauli ya serikali kupitia Waziri mkuu, Mizengo Pinda kwani alipotoa ufafanuzi walisikika wakitoa matamushi ya kutokukubaliana naye

No comments:

Powered by Blogger.