Header Ads

KINANA AKAGUA MIRADI YA MAENDELEO NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI NANYUMBU


 Ujenzi wa mradi wa maji wa Sengenya ukiwa unaendelea ambapo ukikamilika utasaidia vijiji vitatu wilayani Nanyumbu mkoa wa Mtwara.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupanga mawewakati wa ujenzi wa bwawa la maji la Sengenya ambalo litasaidia vijiji vya Sengenya ,Mara na Nangarinje.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa Daktari Mkuu wa Wilaya wilaya ya Nanyumbu Dkt. Ahmad Mhando ambapo Katibu Mkuu wa CCM alitembelea kituo hicho cha afya cha Mangaka.
  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiagana na  Daktari Mkuu wa Wilaya wilaya ya Nanyumbu Dkt. Ahmad Mhando baada ya kukagua  kituo hicho cha afya cha Mangaka.
 Katibu Mkuu wa CCM ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na Katibu wa NEC itikadi na Uenezi Nape Nnauye kutanzama daraja hilo linalounganisha nchi mbili za Tanzania mfumo.
 Shehena ya mbao zilizokamatwa ma TRA Mtambaswala
 Katibu Mkuu wa CCM akiondoka kwenye ofisi za Mamlaka ya Mapato Tanzania zilizopo Mtambaswala.

No comments:

Powered by Blogger.