Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo wa hadhara
Kinana akishiriki ujenzi wa kingo za barabara mjini Masasi
Kate Kamba akimuonesha Komredi Kinana korosho zilizofungashwa kisasa kiwandani hapo.
Katibu
Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki ufyatuaji matofali kwa
kutumia mashine ya kujengea ofisi ya CCM Wilaya ya Masasi, wakati wa
ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo
inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja
na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Kinana akilakiwa katika Kijiji cha Mwena-Ndanda alipoanza ziara katika Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara
Komredi Kinana akivishwa skafu na chipukizi ikiwa ni ishara ya kumkaribisha katika Mkoa wa Mtwara
Wananchi wakiwa wamejipanga kumpokea Komredi Kinana wilayani Masasi, Mtwara
Kinana akialimiana na akina mama wajane alipotembelea kikundicha Ujasiriamali mjini Masasi
Meneja
wa Kiwanda cha Ubanguaji Korosho cha Perfect Masasi Mtwara, akimuonesha
Komredi Kinana jinsi mtambo kiwanda hicho unavyofanya kazi
Kinana akiangalia mashine za kubangua korosho katika Kiwanda hicho
KATIBU MKUU WA CCM ABDULRAHMAN KINANA ATINGA MASASI, ATAKA CCM IENDELEE KUIBANA SERIKALI JUU YA WAFUJAJI WA FEDHA ZA A UMMA
Reviewed by
crispaseve
on
2:26 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment