Header Ads

KAMPUNI YA BE FORWARD TANZANIA YADHAMINI WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI 2014

SAM_0448
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mrongo akimkabidhi Tuzo mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya BE FORWARD TANZANIA bw. Daniel Mtaalam  wakati wa maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani yaliyofanyika kitaifa jijini Arusha katika uwanja wa Sheikh Amir Abeid, kwa kutambua mchango na jitihada zao za kutoa elimu ya usalama barabarani ambapo pia kampuni hiyo ni wadhamini wakuuTUZO
Tuzo waliyotunukiwa kampuni ya BE FORWARD TANZANIA katika maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani jijini Arusha katika uwanja wa Sheikh Amir Abeid
IMG_1278
Mmoja wa wadau katika maadhimisho hayo akifurahia ujio na ushiriki wa kampuni ya BE FORWARD TANZANIA kwa kutoa elimu ya usalama barabarani
IMG_1279
Wadau wakipata elimu ya usalama barabarani na kujua shughuli zinazofanywa na kampuni ya BE FORWARD TANZANIA katika banda lao
IMG_1243
Maofisa wa kikosi cha usalama barabarani wakitoa elimu kwa wadau waliotembelea banda la BE FORWARD TANZANIA katika maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani yaliyofanyika kitaifa jijini Arusha katika uwanja wa Sheikh Amir Abeid (Habari picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)

No comments:

Powered by Blogger.