Rais
wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais
wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein wakikata keki
katika sherehe ya Miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
ulioasisiwa na Mwalimu J.K.Nyerere na Mzee Abeid Amani Karume Aprili 26
mwaka 1964 hafla hiyo iilifanyika jana kwenye viwanja vya Ikulu na
kuhudhuriwa na Makamu wa Rais Dr. Gharib Bilal, Makamu wa Pili wa Rais
Zanzibar Seif Ali Idd, Waziri Mkuu Tanzania Mh. Mizengo Pinda na
viongozi mbalimbali wa serikali taasisi za dini na vyma vya siasa,
Kushoto ni Mke wa Rais mama Salma Kikwete na kushoto ni Mkewa Rais wa
Zanzibar Mama Mwanamwema SheinRais
wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete na Rais
wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar Dr. Ali Mohamed Shein wakiwalisha keki
wake zao katika hafla hiyo.Rais
wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Dr. Jakaya Mrisho Kikwete
akibonyeza kifaa maalum cha kufyatua mafataki wakati wa hafla ya
kuadhimisha miaka 50 ya uhuru wa Tanzania.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-DAR ES SALAAM)
HAFLA YA MIAKA 50 YA MUUNGANO WA TANZANIA YAFANA VIWANJA VYA IKULU
Reviewed by crispaseve
on
3:59 PM
Rating: 5
No comments:
Post a Comment