Header Ads

PROFESA IBRAHIM LIPUMBA AWASHUKURU WANACHAMA WAKE KWA KUIPA KURA CUF SERIKALI ZA MITAA

Mwenyekiti wa chama cha Wananchi CUF.  Prof, Ibrahim Lipumba   alipokuwa akiwashukuru wananchi wa Buguruni Dar es Salaam jana kwa  kupiga kura na kukipa ushindi  mkubwa na imani walio ionyesha kwa wagombea wa chama hicho kuwezesha kunyakuwa mita 5 na Chama cha Mapinduzi CCM kunyakuwa mta 1, nakuwaomba wananchi wazidi kuwa na imani na cha hicho.(PICHA NA KHAMISI MUSSA) JAMBO LEO
 Mjumbe wa Chama cha Wananchi CUF.  na Kiongozi wa Sanaa Mshikamano cha Temeke Shamte Mpendaraha  alipokuwa akisoma risala kabla ya mgeni Rasmi kuongea
 Wanachana wa chama cha wananchi CUF  pamoja na wanachi wakimsikiliza kwa makini Mwenyekiti wa Chama hicho Prof Ibrahim Lipumba

No comments:

Powered by Blogger.