RAHA YA MAFANIKIO YAKO USAIDIE NA WENGINE WAFANIKIWE!
Ukiacha yeye, wapo watu mmojammoja au kwa vikundi na taasisi ambao
wamechangia wewe kuwa na mafanikio uliyo nayo. Hawa ni watu wa
kuwaheshimu sana. Kamwe usiwasahau, endelea kuwa nao karibu kwani
umuhimu wao kwako ni mkubwa sana.
Aidha, unapofanikiwa na wewe unatakiwa kuwa chachu ya mafanikio kwa
wengine. Unatakiwa kuwashika mkono ndugu, marafiki na watu wengine
wanaokuzunguka ili watoke kwenye hali duni walizonazo. Ukifanya hivyo
utazidi kupaa kimafanikio…
No comments:
Post a Comment