CCM KUANZA KUWATIMUA VIONGOZI WAVIVU,WASIO NA KAZI NA WALA RUSHWA
Kinana akipandisha bendera wakati wa uzinduzi wa shina la wakereketwa wa Kikundi cha Mshikamano Mlandizi Mjini
Nape akimbusu mtoto Ashrafu Waziri wa mkazi wa Mlandizi wakati wa ziara kuimarisha uhai wa chama Kibaha Vijijini
Wafuasi wa CCM, wakisikiliza kwa makini wakati Kinana akihutubia wakati wa uzinduzi wa shina la vijana la mshikamano Kibaha Vijijini. Kutoka kulia ni Flaviana Juma, Moureen Willfred na Fadhila Jumanne
Kinana akikagua mradi wa maji katika Kijiji cha Bokomnemela Kibaha Vijijini
Kinana akiagana na Mjumbe wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Dk. Hashim Mohamed baada ya kukagua mradi wa maji katika Kijiji cha Bokomnemela.
Katibu wa CCM Mkoa wa Pwani, Joyce Masunga akihutubia katika mkutano huo
Mbunge wa Jimbo la Kibaha Vijijini, Hamoud Jumaa akielezea kuhusu miradi mbalimbali iliyotekelezwa katika jimbo hilo kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM.
Mkazi wa Mlandizi akiuliza swali katika mahakama ya wazi ya Kinana katika kutano huo
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mwantumu Mahiza akijibu swali la mwananchi aliyelalamikia kitendo cha waalimu kuwafukuza wanafunzi waliokosa kutoa michango shuleni ambapo Kinana alikemea vitendo hivyo.
Baadhi ya wanachama wa Chadema wakionesha kadi baada ya kujiunga na CCM katika mizikutano uliofanyika Kibaha Mlandizi
Wanachama wapya wakila kiapo baada ya kukabidhiwa kadi za chama hicho
No comments:
Post a Comment